loop 4

 photo loop-4_zpsuur1zyk7.gif

Monday, 5 January 2015

FILAMU YA BEHIND THE PASTORS KUZINDULIWA MARA MBILI NDANI YA SIKU MOJA

Loading.......
Ile Filamu iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na Watanzania wengi, Filamu iliyoandaliwa chini ya Kampuni mashuhuri na inayokuja kasi katika Tasnia ya Filamu Tanzania, Kampuni ya LUSSE THE BIG FILM COMPANY sasa itazinduliwa rasmi tarehe 18 JANUARY 2015

BEHIND THE PASTORS ni Filamu ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa hamu sana, ndani ya Filamu hiyo utakutana na Peter Lusse, Mzee Jengua, Mzee Magari, Stanley Msungu na Waimbaji wengine wengi



ITS A MUST WATCH MOVIE



No comments:

Post a Comment